Posts

Showing posts from July, 2023

MSIMAMO WA VOICE OF MOMBASA

Image
.    kundi la vugu vugu mombasa  .    picha ya michael nato akizungumza Kundi la (voice of mombasa) alamaarufu vugu vugu mombasa pamoja na wananchi Katika mahojiano yamoja kwa moja na  wanahabari wamepitisha ujumbe kwa Rais Daktari William Ruto kuweza  kutangamana nao atakapokuwa akidhuru mombasa. .    picha ya michael nato akizungumza  Msemaji wao mkuu Bwana Michael Nato amemrai rais huku akimtaka atenge muda wa mazungumzo  kwa viongozi waliowaniwa viti vya udiwani kwenye chama cha UDA ila hawakufua dafu. Malengo Yao na madhumni yakiwa kutimiziwa ahadi walizoahidiwa na rais wakati wa kampeni.  .    Picha ya Elizabeth kadzo akihutubia  Pia, kundi hili limeweza Kuonyesha kughadhabishwa mno na tukio la vurugu lililotokea GTI hapa mombasa mnamo  mwezi uliopita kwenye mkutano mkubwa wa UDA uliongozwa na karani mkuu bwana CLEOPHAS MALALA.   ...