HOSSANA AJIPANGA VIKALI DHIDI AHARUB SUPER CUP
( Picha ya Hossana akipepeta mpira) Diwani wa wadi ya chaani eneobunge la changamwe - Mombasa, Franklin Hossana makanga aliteua timu ya chaani FC combined kupitia michuano ya kirafiki ili kuwakilisha wadi hiyo kwenye ligi ya Aharub Super Cup. . (Picha ya Hossana Pamoja na wachezaji Kabla Mchuano ) Michuano hiyo ilishirikisha timu hatari ambazo ni Blue Rangers FC , chaani youth na wazito FC ,timu ambazo zilimenyana ili kupata wachezaji bora ambao waliijumuishwa kuwa kikosi kimoja cha wadi hiyo . Aharub Super Cup ,ni ligi inayopangiwa kuanza mnamo tarehe tisa mwezi ujao na kuchezwa kwa miezi miwili mfulululizo Hadi kumalizika.Ligi hii itashirikisha wadi zote katika kaunti ya mombasa kwenye michuano mikali kwa mathumni ya kuinua talanta mashinani na kuwawezesha wachezaji kupata fursa ya kung'aa. . ( Picha ya wazito fc) Timu hizi za wadi, zimewekwa kwa makund...