VIJANA KAZINI
Kwa kipindi cha muda mrefu hapa nchini wimbo wa ukosefu wa ajira umekuwa kama kibwagizo kila kuchao huku maelfu ya wanafunzi wanaohitimu vyuoni wakibanana mjini kila mmoja akiwa na lengo la kufanikisha maisha.
Licha ya msururu huu wa neno "Sina Kazi " kusambaza kwa kasi, vijana wameweza kufunguka macho na kuona ya mbeleni huku wakizamia kwenye mitandao ili kukwachua vibarua vya peni kadhaa kwa kimombo tunaziita "online jobs".
Wengine wamejitosa kwenye mashirika kadhaa yanayotoa mafunzo ya kiufundi, ufadhili wa miradi na biashara aidhaa kwa vikundi au mtu binafsi maswala yanayompa kijana uwanja wa kujiendeleza.
Serikali ipo kwenye mapambano Angalau kufungua njia mbadala kukabili janga hili la ukosefu wa ajira hii ikiwemo kutoa mikopo murua na inayokatwa ada ya chini kiasi cha kuweza kumudu kila mmoja Katika vitengo tofauti fursa inayompa kijana Mwanga Wa kupasua Maisha kwenye uwanja wa biashara.
Bidii hii yote pande zote mbili ni ishara tosha kuwa miaka ijayo wengi watakuwa wameweza kujiajiri na maisha kuwa kwenye ngazi ya kisawa ni jukumu la kila mmoja kuwa mpambanaji bora ili kuweza kuyafulia maisha dafu
Nina lengo na tumaini kubwa kuwa vijana wanaweza na wataweza kuibia ubunifu zaidi haswa kwenye sekta za biashara,sanaa na hata mawazo yanyopania kusonga mbele .
#fikrazakichawi.
#Akilinyingi.
#Mombasa
Makali Safi sana kwa vijana
ReplyDeleteNakala Safi sana kwa vijana
ReplyDeleteNakala Safii Brother
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteKazi nzuri Akili Nyingi
ReplyDeleteKazi kuntu
DeleteKazi nzuri Yohana keep it up
ReplyDeleteNice article.
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteKazi mzuri
ReplyDeleteMakala mazuri. Kazi safi kabisa. Hongera kaka!
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteInteresting article
ReplyDeleteHatari zaidi
ReplyDeleteThe young generation simply needs to renew, refresh and maintain the current status of society.
ReplyDeleteKeep up🤗
ReplyDeleteKuntuuu
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteGreat keep it burning 🔥 more fire
ReplyDeleteDope manzee keep it up
ReplyDeleteGreat article
ReplyDeleteKazi Safi
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteVizuri kaka
ReplyDeleteNzuri sana kaka
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteWell articulated
ReplyDeleteKazi njema bro
ReplyDeleteKazi njema kaka
ReplyDeleteNice work brother, keep it up
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteKazi safi big up bro👍
ReplyDeleteGreat 👌
ReplyDeleteNice article
ReplyDeleteKeep it up
ReplyDelete